Zaburi 34:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nitambariki Yehova nyakati zote;+Daima sifa yake itakuwa katika kinywa changu.+ Danieli 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Danieli akajibu na kusema: “Jina la Mungu na libarikiwe+ kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo, maana hekima na nguvu ni zake.+
20 Danieli akajibu na kusema: “Jina la Mungu na libarikiwe+ kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo, maana hekima na nguvu ni zake.+