Ayubu 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu akimmeza kutoka mahali pake,+Hiyo pia hakika itamkana, ikisema, ‘Sijakuona wewe.’+ Zaburi 103:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana upepo unapita juu yake, nalo halipo tena;+Napo mahali pake hapataendelea kulitambua tena.+
16 Kwa maana upepo unapita juu yake, nalo halipo tena;+Napo mahali pake hapataendelea kulitambua tena.+