Zaburi 38:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimeingiwa na wasiwasi, nimeinama kupita kiasi;+Nimetembea huku na huku kwa huzuni mchana kutwa.+ Zaburi 42:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nitamwambia Mungu mwamba wangu:+“Kwa nini umenisahau?+Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?”+ Zaburi 43:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana wewe ni Mungu wa ngome yangu.+Kwa nini umenitupilia mbali?Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?+
9 Nitamwambia Mungu mwamba wangu:+“Kwa nini umenisahau?+Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?”+
2 Kwa maana wewe ni Mungu wa ngome yangu.+Kwa nini umenitupilia mbali?Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?+