Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda. Methali 28:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Anayempa kitu maskini hatakuwa na uhitaji,+ lakini yeye anayeficha macho yake atapata laana nyingi.+
18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda.
27 Anayempa kitu maskini hatakuwa na uhitaji,+ lakini yeye anayeficha macho yake atapata laana nyingi.+