Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Usilitumie jina la Yehova Mungu wako kwa njia isiyofaa,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kuadhibiwa yule anayelitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+

  • Ayubu 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tazama! Yeye hana imani katika watumishi wake,

      Naye huwashtaki wajumbe wake kuwa na makosa.

  • Ayubu 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Je, Mweza-Yote anapendezwa kwa vyovyote kwa kuwa wewe ni mwadilifu,+

      Au, kupata faida yoyote kwa kuwa wewe unafanya njia yako isiwe na lawama?+

  • Ayubu 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Kuna hata mwezi, nao si mwangavu;

      Nazo nyota zenyewe si safi machoni pake.

  • Ayubu 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na sasa chukueni ng’ombe-dume saba+ na kondoo-dume saba+ kisha mwende kwa mtumishi wangu Ayubu, nanyi mtoe dhabihu ya kuteketezwa kwa ajili yenu wenyewe; na Ayubu mtumishi wangu atasali kwa ajili yenu.+ Nitakubali uso wake peke yake ili nisiwatendee ninyi upumbavu wenye kufedhehesha, kwa maana hamkusema mambo ya kweli kunihusu mimi, kama mtumishi wangu Ayubu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki