Luka 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi ninawaambia ninyi, Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta,+ nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi, nanyi mtafunguliwa. Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.
9 Basi ninawaambia ninyi, Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta,+ nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi, nanyi mtafunguliwa.
7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.