22 Mungu wangu mwenyewe+ alimtuma malaika+ wake na kufunga vinywa vya simba,+ nao hawakuniangamiza, kwa kuwa nimeonekana kuwa mtu asiye na hatia mbele zake;+ na pia mbele yako, Ee mfalme, mimi sijafanya tendo lolote lenye kudhuru.”+
13 Hakuna jaribu ambalo limewapata ninyi ila lile lililo kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu,+ naye hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na hilo jaribu ataifanya pia njia ya kutokea+ kusudi mweze kulivumilia.