Zaburi 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+ Zaburi 50:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Umeyafanya mambo hayo, nami nikaendelea kukaa kimya.+Ulidhani kwamba kwa hakika mimi ningekuwa kama wewe.+Nitakukaripia,+ nami nitayarekebisha mambo mbele ya macho yako.+ Zaburi 83:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 83 Ee Mungu, usinyamaze;+Usikae bila kusema, wala kukaa kimya, Ee Mungu.+
28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+
21 Umeyafanya mambo hayo, nami nikaendelea kukaa kimya.+Ulidhani kwamba kwa hakika mimi ningekuwa kama wewe.+Nitakukaripia,+ nami nitayarekebisha mambo mbele ya macho yako.+