Zaburi 65:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+Ili apate kukaa katika nyua zako.+Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+Mahali patakatifu pa hekalu lako.+ Yeremia 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitaishibisha nafsi ya makuhani kwa mafuta,+ na watu wangu watashiba wema,”+ asema Yehova. Zekaria 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana lo! jinsi ulivyo mkuu wema wake,+ na jinsi ulivyo mkuu uzuri wake!+ Nafaka ndiyo itakayowasitawisha vijana, na divai mpya nayo itawasitawisha mabikira.”+
4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+Ili apate kukaa katika nyua zako.+Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+Mahali patakatifu pa hekalu lako.+
17 Kwa maana lo! jinsi ulivyo mkuu wema wake,+ na jinsi ulivyo mkuu uzuri wake!+ Nafaka ndiyo itakayowasitawisha vijana, na divai mpya nayo itawasitawisha mabikira.”+