Zaburi 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+
13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+