Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 13:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na ikawa, mara tu alipomaliza kusema, tazama, wana wa mfalme wakaingia, nao wakaanza kupaaza sauti zao na kulia; na hata mfalme na watumishi wake wote wakalia kilio kikubwa sana.

  • Maombolezo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+

      Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.

      Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+

  • Matendo 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Paulo akajibu: “Mnafanya nini kwa kulia+ na kunifanya dhaifu moyoni?+ Muwe na hakika, niko tayari si kufungwa tu bali pia kufa+ Yerusalemu kwa ajili ya jina la Bwana Yesu.”

  • 2 Wakorintho 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 ili kwamba, kinyume chake sasa, mnapaswa kumsamehe+ kwa fadhili na kumfariji, ili kwa njia fulani mtu huyo asimezwe na huzuni yake ya kupita kiasi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki