Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ili Yehova atimize neno lake alilosema kunihusu mimi,+ akisema, ‘Wana+ wako wakitunza njia yao kwa kutembea+ mbele zangu katika kweli+ kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi yao yote, hakuna mwanamume wa kwako atakayekatiliwa mbali asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.’+

  • Zaburi 34:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Linda ulimi wako na yaliyo mabaya,+

      Na midomo yako isiseme udanganyifu.+

  • Zaburi 119:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kijana+ ataisafishaje njia yake?

      Kwa kujilinda kulingana na neno lako.+

  • Waebrania 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hiyo ndiyo sababu ni lazima kwetu kuyakazia uangalifu zaidi kuliko ilivyo kawaida mambo tuliyosikia,+ ili tusipeperushwe kamwe.+

  • 1 Petro 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki