Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini yeye akamwambia: “Wewe unasema kama anavyosema mmoja wa hao wanawake wasio na akili.+ Je, tukubali yaliyo mema tu kutoka kwa Mungu wa kweli, wala tusikubali pia yaliyo mabaya?”+ Katika hayo yote Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+

  • Zaburi 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wale ambao wamesema: “Kwa ulimi wetu tutashinda.+

      Midomo yetu iko pamoja nasi. Ni nani atakayekuwa bwana kwetu?”

  • Methali 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kifo na uzima viko katika nguvu za ulimi,+ naye anayeupenda atakula matunda yake.+

  • Yakobo 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hivyo, pia, ulimi ni kiungo kidogo na bado hujigamba kwa njia kubwa.+ Tazameni! Ni moto mdogo tu unaohitajika ili kuuwasha mwitu mkubwa!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki