Ayubu 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini yeye akamwambia: “Wewe unasema kama anavyosema mmoja wa hao wanawake wasio na akili.+ Je, tukubali yaliyo mema tu kutoka kwa Mungu wa kweli, wala tusikubali pia yaliyo mabaya?”+ Katika hayo yote Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+ Zaburi 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale ambao wamesema: “Kwa ulimi wetu tutashinda.+Midomo yetu iko pamoja nasi. Ni nani atakayekuwa bwana kwetu?” Methali 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kifo na uzima viko katika nguvu za ulimi,+ naye anayeupenda atakula matunda yake.+ Yakobo 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hivyo, pia, ulimi ni kiungo kidogo na bado hujigamba kwa njia kubwa.+ Tazameni! Ni moto mdogo tu unaohitajika ili kuuwasha mwitu mkubwa!
10 Lakini yeye akamwambia: “Wewe unasema kama anavyosema mmoja wa hao wanawake wasio na akili.+ Je, tukubali yaliyo mema tu kutoka kwa Mungu wa kweli, wala tusikubali pia yaliyo mabaya?”+ Katika hayo yote Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+
4 Wale ambao wamesema: “Kwa ulimi wetu tutashinda.+Midomo yetu iko pamoja nasi. Ni nani atakayekuwa bwana kwetu?”
5 Hivyo, pia, ulimi ni kiungo kidogo na bado hujigamba kwa njia kubwa.+ Tazameni! Ni moto mdogo tu unaohitajika ili kuuwasha mwitu mkubwa!