Zaburi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+ Zaburi 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Uamke na ukae macho kwa ajili ya hukumu yangu,+Kwa ajili ya kesi yangu,+ Ee Mungu wangu, naam, Yehova.
7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+
23 Uamke na ukae macho kwa ajili ya hukumu yangu,+Kwa ajili ya kesi yangu,+ Ee Mungu wangu, naam, Yehova.