Zaburi 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Onjeni mwone ya kuwa Yehova ni mwema;+Mwenye furaha ni mwanamume ambaye humkimbilia.+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa yule mtu hodari anayemtegemea Yehova, na ambaye Yehova amekuwa uhakika wake.+