Zaburi 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+ Zaburi 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mfano wake ni ule wa simba anayetamani kurarua vipande-vipande+Na ule wa mwana-simba anayekaa mahali palipofichika. 1 Petro 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+
9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+
12 Mfano wake ni ule wa simba anayetamani kurarua vipande-vipande+Na ule wa mwana-simba anayekaa mahali palipofichika.
8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+