Zaburi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka. Zaburi 38:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu kwa sababu ya shutuma yako.+Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+ Zaburi 147:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anawaponya+ wenye mioyo iliyovunjika,+Naye anafunga sehemu zao zenye maumivu.+ Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+
2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka.
3 Hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu kwa sababu ya shutuma yako.+Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+