Zaburi 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wengi wanasema juu ya nafsi yangu:“Hakuna wokovu kwa ajili yake kutoka kwa Mungu.”+ Sela. Zaburi 71:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakisema: “Mungu mwenyewe amemwacha.+Mfuatilieni na kumkamata, kwa maana hakuna mkombozi.”+