1 Mambo ya Nyakati 16:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.’”+Na watu wote wakasema, “Amina!” na sifa kwa Yehova.+ Ufunuo 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 wakisema: “Amina! Baraka na utukufu na hekima na kutoa shukrani na heshima na uwezo na nguvu+ ziwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amina.”+
36 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.’”+Na watu wote wakasema, “Amina!” na sifa kwa Yehova.+
12 wakisema: “Amina! Baraka na utukufu na hekima na kutoa shukrani na heshima na uwezo na nguvu+ ziwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amina.”+