4 Basi Yonathani akasema vema+ kumhusu Daudi kwa Sauli baba yake na kumwambia: “Mfalme asitende dhambi+ juu ya Daudi mtumishi wake, kwa maana yeye hakutenda dhambi kwako wewe na kazi zake zimekuwa nzuri sana kwako wewe.+
7 Kwa hiyo Daudi akawatawanya watu wake kwa maneno hayo, naye hakuwaruhusu wamshambulie Sauli.+ Naye Sauli akainuka kutoka katika lile pango na kwenda zake.
9 Hata hivyo, Daudi akamwambia Abishai: “Usimwangamize, kwani ni nani amepata kunyoosha mkono wake juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova,+ naye akabaki bila hatia?”+