Zaburi 76:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mungu aliposimama kwenye hukumu,+Ili kuokoa wapole wote wa dunia.+ Sela. Zaburi 103:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova anatekeleza matendo ya uadilifu+Na hukumu kwa wale wote wanaopunjwa.+