Zaburi 43:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana wewe ni Mungu wa ngome yangu.+Kwa nini umenitupilia mbali?Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?+ Zaburi 74:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 Kwa nini, Ee Mungu, umetutupilia mbali milele?+Kwa nini hasira yako inatoa moshi daima juu ya kundi la malisho yako?+
2 Kwa maana wewe ni Mungu wa ngome yangu.+Kwa nini umenitupilia mbali?Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?+
74 Kwa nini, Ee Mungu, umetutupilia mbali milele?+Kwa nini hasira yako inatoa moshi daima juu ya kundi la malisho yako?+