Zaburi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova hunipa thawabu kulingana na uadilifu wangu;+Hunilipa kulingana na usafi wa mikono yangu.+ Zaburi 35:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nihukumu kulingana na uadilifu wako, Ee Yehova Mungu wangu,+Nao wasishangilie juu yangu.+