13 Miiba itatokea kwenye minara yake ya makao, upupu na magugu yenye miiba katika mahali pake penye ngome;+ naye atakuwa makao ya mbwa-mwitu,+ ua kwa ajili ya mbuni.+
7 Na nchi iliyokaushwa na joto itakuwa kama dimbwi lenye matete, na nchi yenye kiu kama mabubujiko ya maji.+ Katika makao ya mbwa-mwitu,+ mahali pao pa kupumzika, patakuwa na majani mabichi na matete na mimea ya mafunjo.+