Mathayo 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe!+ Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.+ Waebrania 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uliupenda uadilifu, nawe ukauchukia uasi-sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, alikutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+
23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe!+ Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.+
9 Uliupenda uadilifu, nawe ukauchukia uasi-sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, alikutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+