Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+

  • Isaya 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na juu ya meli zote za Tarshishi+ na juu ya mashua zote zenye kutamanika.

  • Yeremia 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nitawatawanya wao mbele ya adui kama kwa upepo wa mashariki.+ Nitawaonyesha wao mgongo, wala si uso,+ katika siku ya msiba wao.”

  • Ezekieli 27:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “ ‘ “Wale wanaokupigia makasia wamekuleta katika maji makuu.+ Upepo wa mashariki umekuvunja katika moyo wa bahari kuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki