1 Wafalme 22:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+ Isaya 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na juu ya meli zote za Tarshishi+ na juu ya mashua zote zenye kutamanika. Yeremia 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitawatawanya wao mbele ya adui kama kwa upepo wa mashariki.+ Nitawaonyesha wao mgongo, wala si uso,+ katika siku ya msiba wao.” Ezekieli 27:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “ ‘ “Wale wanaokupigia makasia wamekuleta katika maji makuu.+ Upepo wa mashariki umekuvunja katika moyo wa bahari kuu.+
48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+
17 Nitawatawanya wao mbele ya adui kama kwa upepo wa mashariki.+ Nitawaonyesha wao mgongo, wala si uso,+ katika siku ya msiba wao.”
26 “ ‘ “Wale wanaokupigia makasia wamekuleta katika maji makuu.+ Upepo wa mashariki umekuvunja katika moyo wa bahari kuu.+