Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+ Zaburi 80:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+
2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+
80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+