Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Pia alikuwa akiwatunza kwa upendo watu wake;+

      Watakatifu wao wote wako mkononi mwako.+

      Na wao—wao waliegama miguuni pako;+

      Walianza kupokea baadhi ya maneno yako.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Hezekia+ mfalme akaondoka mapema,+ akawakusanya wakuu+ wa jiji, na kupanda kwenda katika nyumba ya Yehova.

  • Zaburi 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+

      Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+

      Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+

  • Methali 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa kushika mapito ya hukumu,+ naye atailinda njia ya washikamanifu wake.+

  • Isaya 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mimi mwenyewe nimetoa amri kwa watu wangu waliotakaswa.+ Pia nimewaita watu wangu wenye nguvu kwa ajili ya kuonyesha hasira yangu,+ watu wangu wenye kufurahi kwa njia yenye kutokeza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki