Kumbukumbu la Torati 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia alikuwa akiwatunza kwa upendo watu wake;+Watakatifu wao wote wako mkononi mwako.+Na wao—wao waliegama miguuni pako;+Walianza kupokea baadhi ya maneno yako.+ 2 Mambo ya Nyakati 29:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye Hezekia+ mfalme akaondoka mapema,+ akawakusanya wakuu+ wa jiji, na kupanda kwenda katika nyumba ya Yehova. Zaburi 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+ Methali 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa kushika mapito ya hukumu,+ naye atailinda njia ya washikamanifu wake.+ Isaya 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mimi mwenyewe nimetoa amri kwa watu wangu waliotakaswa.+ Pia nimewaita watu wangu wenye nguvu kwa ajili ya kuonyesha hasira yangu,+ watu wangu wenye kufurahi kwa njia yenye kutokeza.
3 Pia alikuwa akiwatunza kwa upendo watu wake;+Watakatifu wao wote wako mkononi mwako.+Na wao—wao waliegama miguuni pako;+Walianza kupokea baadhi ya maneno yako.+
20 Naye Hezekia+ mfalme akaondoka mapema,+ akawakusanya wakuu+ wa jiji, na kupanda kwenda katika nyumba ya Yehova.
7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+
3 Mimi mwenyewe nimetoa amri kwa watu wangu waliotakaswa.+ Pia nimewaita watu wangu wenye nguvu kwa ajili ya kuonyesha hasira yangu,+ watu wangu wenye kufurahi kwa njia yenye kutokeza.