Yeremia 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana watu wangu ni wapumbavu.+ Hawanijali mimi.+ Wao ni wana wasio na hekima; nao si wale walio na uelewaji.+ Wana hekima ya kutenda mabaya, lakini kwa kweli hawajui kutenda mema.+ Mika 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ninyi mnaochukia yaliyo mema+ na mnaopenda ubaya,+ mnaochuna ngozi kutoka kwa watu na nyama kutoka kwa mifupa yao;+
22 Kwa maana watu wangu ni wapumbavu.+ Hawanijali mimi.+ Wao ni wana wasio na hekima; nao si wale walio na uelewaji.+ Wana hekima ya kutenda mabaya, lakini kwa kweli hawajui kutenda mema.+
2 Ninyi mnaochukia yaliyo mema+ na mnaopenda ubaya,+ mnaochuna ngozi kutoka kwa watu na nyama kutoka kwa mifupa yao;+