Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+

      Naam, mtumaini Yehova.+

  • Zaburi 54:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitakutolea dhabihu kwa kupenda.+

      Nitalisifu jina lako, Ee Yehova, kwa maana ni jema.+

  • Zaburi 123:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+

      Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+

      Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+

      Mpaka atuonyeshe kibali.+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki