Zaburi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+Naam, mtumaini Yehova.+ Zaburi 54:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitakutolea dhabihu kwa kupenda.+Nitalisifu jina lako, Ee Yehova, kwa maana ni jema.+ Zaburi 123:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+
2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+