Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kwa sababu walichukia ujuzi,+ nao hawakuchagua kumwogopa Yehova.+

  • Yeremia 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana watu wangu ni wapumbavu.+ Hawanijali mimi.+ Wao ni wana wasio na hekima; nao si wale walio na uelewaji.+ Wana hekima ya kutenda mabaya, lakini kwa kweli hawajui kutenda mema.+

  • Hosea 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sikieni neno la Yehova, enyi wana wa Israeli, kwa maana Yehova ana kesi na wakaaji wa nchi,+ kwa maana hakuna kweli+ wala fadhili zenye upendo wala kumjua Mungu katika nchi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki