Zaburi 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watenda-maovu walipokuja karibu juu yangu ili wapate kuila nyama yangu,+Wao wakiwa ni wapinzani wangu na adui zangu,+Wao walijikwaa na kuanguka.+ Yeremia 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mwaga ghadhabu yako juu ya mataifa+ ambayo yamekupuuza,+ na juu ya familia ambazo hazikuliitia jina lako.+ Kwa maana wamemla Yakobo.+ Ndiyo, wamemla, nao wanaendelea kumwangamiza;+ nao wameyafanya makao yake kuwa ukiwa.+
2 Watenda-maovu walipokuja karibu juu yangu ili wapate kuila nyama yangu,+Wao wakiwa ni wapinzani wangu na adui zangu,+Wao walijikwaa na kuanguka.+
25 Mwaga ghadhabu yako juu ya mataifa+ ambayo yamekupuuza,+ na juu ya familia ambazo hazikuliitia jina lako.+ Kwa maana wamemla Yakobo.+ Ndiyo, wamemla, nao wanaendelea kumwangamiza;+ nao wameyafanya makao yake kuwa ukiwa.+