Ayubu 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuondokee!+Nasi hatujaona upendezi wowote katika kuzijua njia zako.+ Zaburi 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+
14 Nao wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuondokee!+Nasi hatujaona upendezi wowote katika kuzijua njia zako.+
4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+