Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 43:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Unihukumu,+ Ee Mungu,

      Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.

      Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+

  • Zaburi 99:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+

      Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+

      Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+

  • Methali 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Mkombozi wao ana nguvu; yeye mwenyewe atatetea kesi yao dhidi yako wewe.+

  • Yeremia 50:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki