Zaburi 43:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+ Zaburi 99:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+ Methali 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Mkombozi wao ana nguvu; yeye mwenyewe atatetea kesi yao dhidi yako wewe.+ Yeremia 50:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+
43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+
4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+
34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+