9 Hiyo ndiyo sababu liliitwa jina lake Babeli,+ kwa sababu huko ndiko Yehova alikuwa amevuruga lugha ya dunia yote, na kutoka huko Yehova alikuwa amewatawanya+ juu ya uso wote wa dunia.
31 Na Daudi akaletewa habari, iliyosema: “Ahithofeli yupo kati ya wale wanaopanga hila+ na Absalomu.”+ Ndipo Daudi akasema:+ “Tafadhali, Ee Yehova,+ badili shauri la Ahithofeli liwe upumbavu!”+