Zaburi 69:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Yehova anawasikiliza maskini,+Wala kwa kweli hatawadharau wafungwa wake mwenyewe.+ Zaburi 143:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na katika fadhili zako zenye upendo uwanyamazishe adui zangu;+Nawe uwaangamize wote wanaoichukia nafsi yangu,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+
12 Na katika fadhili zako zenye upendo uwanyamazishe adui zangu;+Nawe uwaangamize wote wanaoichukia nafsi yangu,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+