Kumbukumbu la Torati 33:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+ Zaburi 90:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+ Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+
27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+
2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+