Zaburi 59:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tazama! Wanaropoka kwa kinywa chao;+Panga ziko midomoni mwao,+Kwa maana ni nani anayesikiliza?+ Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+
18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+