3 “Kwa hiyo toa unabii, nawe utasema, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kwa sababu, naam, kwa sababu kumekuwa na kufanywa ukiwa+ na kuumwa kutoka pande zote,+ ili muwe mali ya mabaki ya mataifa+ nanyi mnaendelea kusemwa kwa midomo+ na kati ya watu kuna habari mbaya,+