Zaburi 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, kwa nini adui zangu wamekuwa wengi?+Kwa nini wengi wanainuka dhidi yangu?+ Zaburi 54:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Atawalipa adui zangu ubaya;+Katika ukweli wako uwanyamazishe.+ Matendo 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ijapokuwa hivyo, Herode na pia Pontio Pilato+ pamoja na watu wa mataifa na pamoja na vikundi vya watu wa Israeli kwa kweli walikusanyika pamoja katika jiji hili dhidi ya mtumishi wako mtakatifu+ Yesu, ambaye ulimtia mafuta,+
27 Ijapokuwa hivyo, Herode na pia Pontio Pilato+ pamoja na watu wa mataifa na pamoja na vikundi vya watu wa Israeli kwa kweli walikusanyika pamoja katika jiji hili dhidi ya mtumishi wako mtakatifu+ Yesu, ambaye ulimtia mafuta,+