1 Samweli 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Daudi akaanza kuyaweka maneno hayo moyoni mwake, naye akaogopa+ sana kwa sababu ya Akishi mfalme wa Gathi. Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
12 Na Daudi akaanza kuyaweka maneno hayo moyoni mwake, naye akaogopa+ sana kwa sababu ya Akishi mfalme wa Gathi.
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+