Ayubu 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa nini anampa nuru yule aliye na taabu,Na kuwapa uhai wale wenye uchungu wa nafsi?+ Ayubu 33:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ili kuigeuza nafsi yake isiingie shimoni,+Ili atiwe nuru kwa nuru ya wale walio hai.+ Zaburi 116:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nitatembea+ mbele za Yehova katika nchi za walio hai.+