Yoshua 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Yehova Mungu wenu ndiye aliyeendelea kuwasukuma mbali kutoka mbele yenu,+ naye akawanyang’anya miliki yao kwa ajili yenu, nanyi mkaimiliki nchi yao, kama vile Yehova Mungu wenu alivyokuwa amewaahidi ninyi.+ Zaburi 138:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+
5 Na Yehova Mungu wenu ndiye aliyeendelea kuwasukuma mbali kutoka mbele yenu,+ naye akawanyang’anya miliki yao kwa ajili yenu, nanyi mkaimiliki nchi yao, kama vile Yehova Mungu wenu alivyokuwa amewaahidi ninyi.+
8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+