Zaburi 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+“Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+ Zaburi 91:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+
5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+“Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+
14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+