Hesabu 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamwona,+ bali si sasa;Nitamtazama, bali si karibu.Nyota+ itatokea katika Yakobo,Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli.+Naye atavunja vipaji vya kichwa cha Moabu+Na fuvu la kichwa cha wana wote wa fujo ya vita. 2 Samweli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+ Zaburi 108:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Moabu+ ni chungu changu cha kuoshea.+Nitatupa kiatu+ changu juu ya Edomu.+Nitapiga kelele za ushindi+ juu ya Ufilisti.”+
17 Nitamwona,+ bali si sasa;Nitamtazama, bali si karibu.Nyota+ itatokea katika Yakobo,Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli.+Naye atavunja vipaji vya kichwa cha Moabu+Na fuvu la kichwa cha wana wote wa fujo ya vita.
2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+
9 Moabu+ ni chungu changu cha kuoshea.+Nitatupa kiatu+ changu juu ya Edomu.+Nitapiga kelele za ushindi+ juu ya Ufilisti.”+