Zaburi 89:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+ Zaburi 98:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+ 1 Petro 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.
14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+
9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+
23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.