Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kuna kizazi cha watu ambao meno yao ni panga na ambao mifupa yao ya taya ni visu vya kuchinjia,+ ili kuwala wenye kuteseka waondolewe duniani na maskini watoke kati ya wanadamu.+
18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+
14 Kuna kizazi cha watu ambao meno yao ni panga na ambao mifupa yao ya taya ni visu vya kuchinjia,+ ili kuwala wenye kuteseka waondolewe duniani na maskini watoke kati ya wanadamu.+