16 ili kuifanya nchi yao kuwa kitu cha kushangaza,+ kuwa ya kupigiwa mluzi mpaka wakati usio na kipimo.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao na kutikisa kichwa chake.+
10 huku wao wakisimama mbali kwa sababu ya woga wao wa kuteseka kwake na kusema,+ ‘Ole, ole, wewe jiji kubwa,+ Babiloni wewe jiji lenye nguvu, kwa sababu katika saa moja hukumu yako imefika!’+