Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+

  • Zaburi 85:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ukweli utachipuka kutoka duniani,+

      Nao uadilifu utatazama chini kutoka mbinguni.+

  • Zaburi 96:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+

      Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

      Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+

      Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+

  • Isaya 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nimekutamani wewe kwa nafsi yangu usiku;+ ndiyo, ninaendelea kukutafuta kwa roho yangu ndani yangu;+ kwa sababu, wakati kunapokuwa na hukumu kutoka kwako kwa ajili ya dunia,+ wakaaji wa nchi yenye kuzaa hakika watajifunza uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki