Zaburi 104:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+ Zaburi 107:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nao hupanda mbegu viwanjani na kupanda mashamba ya mizabibu,+Ili yapate kutokeza mimea yenye kutoa mazao.+
15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+
37 Nao hupanda mbegu viwanjani na kupanda mashamba ya mizabibu,+Ili yapate kutokeza mimea yenye kutoa mazao.+